Wafanyabiashara waliokosa nafasi katika soko kuu la Job Ndugai jijini Dodoma wameuomba uongozi wa serikali ya mkoa kuwabaini waliopangisha maeneo ya biashara zaidi ya moja huku wengine wakitumia majina tofauti kwa lengo la kuyapangisha maeneo…
Read MoreShirika la Afya Duniani WHO limesema dawa ya kinga ambayo serikali ya urusi inadai kuigundua, haitaruhusiwa kutumika hadi pale itakapofanyiwa vipimo vya kuthibitisha ubora wake katika maabara za shirika hilo huku urusi ikisema kuwa imeipasisha…
Read MoreIdadi ya wagombea waliojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ili kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hadi kufikia jana ilikuwa 16 baada ya vyama vinne ambavyo…
Read MoreSerikali imesema si kweli kuwa uhusiano wa kidiplomasia wa Tanzania na nchi nyingine umepungua kutokana na namna Tanzania ilivyopambana na ugonjwa wa Covid-19, bali uhusiano huo umeendelea kuimarika zaidi, ikiwemo kupokea pongezi kutoka mataifa na…
Read MoreRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein ameutaka Uongozi na watendaji wa Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuongeza kasi katika kipindi hiki kifupi kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu…
Read MoreSerikali imetoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini, kuhakikisha kinafanya ukaguzi wa mara kwa mara katika vyombo vya usafiri, ili kudhibiti usafirishaji haramu wa binadamu, unaofanywa nchini na nje ya nchi. Akifungua maadhimisho…
Read MoreKampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Parimatch Tanzania imezindua mchezo mpya wa Jackpot ambao utawapa fursa wateja wa kampuni hiyo, kujinyakulia kitita kikubwa cha fedha cha Shillingi Milioni 10 za Kitanzania zitakazokuwa zinatolewa kila wiki.…
Read MoreZaidi ya asilimia 90 ya wananchi mkoani Tanga hawana kabisa vyeti vya kuzaliwa kati yao wakiwemo watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano hali iliyoifanya Serikali kupitia Wakala wa Usajili na ufilisi RITA kuandaa…
Read MoreWatanzania wameungana katika kilele cha Siku Ya Lishe Kitaifa ambapo Waziri Wa Afya, Maendeleo Ya Jamii, Jinsia Wazee Na Watoto Ummy Mwalimu ameagiza kuanzia Septemba Mosi mwaka huu kila shule ya Msingi na Sekondari itoe…
Read MoreSerikali imeeleza kuwa pato la Taifa kwa mwaka limeongezeka na kufikia trilioni 124 ikilinganishwa na trilion 52.9 kwa miaka 10 iliyopita kiwango ambacho hakikuwahi kufikiwa tangu nchi ipate uhuru. Msemaji mkuu wa serikali Dkt. Hassan…
Read More