Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli imeweza kutekeleza miradi mbalimbali yenye manufaa kwa wananchi katika kipindi kifupi cha miaka minne kutokana na kuweka usimamizi mzuri wa mapato ya serikali na kuelekeza…
Read MoreIran imesema itachukua hatua mpya katika kupunguza ahadi ilizotoa katika mkataba wa kihistoria wa nyuklia wa 2015 kuanzia kesho Jumatano kwa kuongeza gesi kwenye mitambo yake 1,044 ya urutubishaji Uranium katika kiwanda chake cha Fordow.…
Read MoreJitihada na utendaji kazi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake zimewasukuma wakulima na wafugaji kuweka bayana furaha yao wakieleza kuwa…
Read MoreSerikali imewasilisha bungeni mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa utakaotekelezwa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 huku maeneo ya kipaumbele yakiwa ni uimarishaji wa sekta ya kilimo, kufungamanisha ukuaji wa uchumi na maendeleo…
Read MoreMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali – CAG aliyemaliza muda wake Prof. Mussa Assad amekabidhi ofisi kwa CAG mteule Charles Kichere aliyeapishwa jana Ikulu jijini Dar es salaam ambapo amemtaka aendeleze ushirikiano baina…
Read MoreHatimaye barabara ya kutoka wilaya ya Handeni kwenda wilaya ya Korogwe mkoani Tanga imefunguliwa baada ya kufanyika kwa matengenezo ambapo kwa sasa magari yameruhusiwa kuendelea kuitumia. Barabara hiyo ilifungwa kutokana na kukatika kulikosababishwa na mvua…
Read MoreKatika kupambana na uharibifu wa mazingira katika ziwa Tanganyika, serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC na Burundi zinafanya tafiti katika bonde la Mto Congo ili kubaini athari…
Read MoreUjenzi unaoendelea jijini Mwanza wa Meli mpya ya Kisasa inayotarajiwa kuchukua abiria 1,200 na kuwa meli kubwa kuliko zote katika nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki, unatarajiwa kukamilika mapema mwaka 2021. Ujenzi huo unaokwenda sambamba…
Read MoreWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. KASSIM MAJALIWA ameziagiza asasi za kiraia zinazofanya kazi nchini kuhakikisha fedha zinazotolewa na wafadhili zinatumika kuibua miradi shirikishi ya maendeleo kwenye jamii badala ya kufanya semina…
Read MoreMwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya Kilimo,Mifugo ,na Maji Mahmoud Mgimwa amesema asilimia 85 ya malighafi zinazozalishwa kupitia sekta ya kilimo mifugo na uvuvi ndizo zinazotumika katika uzalishaji viwandani na kuchochea ukuaji wa…
Read More