Baraza la Mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya wanafunzi waliofanya mtihani huo wamefaulu. Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt. Charles Msonde amefahamisha hayo…
Read MoreMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichoketi leo Januari 15, 2021 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
Read MoreShirika la Ndege Tanzania (ATCL) limezindua safari yake ya kwanza kwenda Mkoani Geita, huku wananchi wakihamasishwa kutumia fursa hiyo kujiletea maendeleo ya kiuchumi. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Dkt. Leonard Chamuriho akizindua safari hiyo amesema…
Read MoreRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Ikulu Mkoani Dodoma na kuonesha kuridhishwa na kiwango na kasi ya ujenzi wa majengo ya…
Read MoreWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema mradi wa ujenzi wa kivuko kipya cha Mv. Kilindoni Hapa Kazi Tu kitakachokuwa kinafanya safari kati ya kisiwa cha Mafia na Nyamisati, umefikia…
Read MoreSerikali mkoani Mwanza imeliagiza jeshi la Polisi mkoani humo, kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya sheria, watu wanaotuhumiwa kuwapa ujauzito zaidi ya wanafunzi 451, katika kipindi cha mwaka 2020. Mkuu wa mkoa wa Mwanza John…
Read MoreWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa siku 15 kwa uongozi ya Wilaya ya Chamwino, Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Suma JKT wahakikishe ujenzi wa hospitali ya Uhuru katika…
Read MoreRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema haridhishwi na mazingira ya utendaji kazi wa Hopitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja na kutoa muda wa miezi mitatu kwa…
Read MoreWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amezindua uchepushaji wa maji ya Mto Rufiji kwenda kwenye handaki ili kuruhusu ujenzi wa tuta kuu kwa ajili ya kutekeleza mradi mkubwa wa kimkakati…
Read MoreSerikali ya Ethiopia imesema leo kuwa imeukamata mji mwingine wa jimbo la kaskazini la Tigray baada ya karibu wiki mbili za mapigano katika mzozo unaotishia kuteteresha hali ya usalama kwenye eneo la pembe ya Afrika.…
Read More