Serikali ya Ethiopia imesema leo kuwa imeukamata mji mwingine wa jimbo la kaskazini la Tigray baada ya karibu wiki mbili za mapigano katika mzozo unaotishia kuteteresha hali ya usalama kwenye eneo la pembe ya Afrika.…
Read MoreShirika la Umoja wa Mataifa linalowashughulikia wakimbizi UNHCR limesema lina wasiwasi kwamba kutatokea janga la wakimbizi iwapo raia wataendelea kukimbia mapigano katika mkoa wa Tigray kaskazini mwa Ethiopia. Wanajeshi wa serikali wamekuwa wakipambana na wapiganaji…
Read MoreTaasisi iliyopata kibali cha kuangalia mwenendo wa uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 nchini ‘The Right Way’ imeeleza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa Uhuru na haki. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya ‘The Right Way’…
Read MoreKampuni ya Madini ya Barrick imesema Shirika la Madini la Twiga limeonyesha uwezo mkubwa wa kutengeneza thamani ya ushirika ikiwa ni mwaka mmoja pekee tangu kuanzishwa kwake. Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick Bwana…
Read MoreTanzania imesema licha ya kupitia changamoto mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa corona na majanga ya mafuriko imefanikiwa kutimiza malengo waliyokubaliana na nchi wanachama wa jumuiya ya maendeleo kusini mwa afrika SADC huku ikiisihi Msumbiji kuendeleza mafanikio…
Read MoreShirika la Uhamiaji la UN limeeleza kuwa Miongoni mwa Wahamiaji 93 waliookolewa mwambao wa Libya mmoja wao amejifungua Baharini huku wengine Sita wamefariki njiani na wale walionusurika walirudishwa katika mji wa bandari wa Khoms, kilomita…
Read MoreAliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amefikishwa mahakamani leo katika mji wa Durban ili kujibu mashItaka ya rushwa, udanganyifu na kujitajirisha kinyume cha sheria, kesi ambayo imekuwa ikiunguruma tangu alipong’atuliwa kutokana na tuhuma za…
Read MoreMalawi leo imerudia uchaguzi wa Rais baada ya Mahakama ya nchi hiyo kuyafuta matokeo ya mwaka 2019 ambayo Rais Peter Mutharika alishinda. Washindani wakuu kwenye uchaguzi huo ni Rais Mutharika na Dkt.Lazarous Chakwera. Katika uchaguzi…
Read MoreRais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa moyo baada ya kulazwa jana katika Hopsitali ya Karusi nchini humo. Marehemu Rais Nkurunziza aliyekuwa na umri wa miaka miaka 55 ameliongoza taifa la…
Read MoreWatu Ishirini na sita wameuawa katika shambulio katika kijiji kilicho kati mwa Mali,ambapo maafisa wasema tukio limejiri katika ghasia za hivi karibuni kugonga Taifa hilo lililopo Afrika Magharibi. Aly Barry ni afisa kutoka Tabital Pulaaku…
Read More