Majeshi ya Urusi na Marekani yameanzisha mashambulizi ya angani katika eneo la Idlib nchini Syria bila kuionya Uturuki na kuhatarisha mkataba wa kusitisha mapigano. Haya yameripotiwa leo Jumapili na shirika la habari la Urusi. Shirika…
Read MoreHalmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini dsm imeanza kuziboresha barabara zilizoharibika vibaya kutokana na mvua na kusababisha kupitika kwa shida katika mitaa mbali mbali ya Jimbo la ukonga. Akizungumza na Waandishi wa habari Mstahiki Meya…
Read More